Khadja Nin все тексты (слова) песен, переводы, видео, клипы
Embargoleo nasaili
ju mimi sikuelewa mambo yale
unasema embargo
ni njiya ya kuleta amani kwangu
kwa vile naona
ni watu wanahangayika bure
unisamehe sana
ju mimi sione uzuri wake
Like an Angelanaliya disiwe
mume wake
ajali haina kinga
wala kafara
anaenda kijana
maladi inamushinda
ana aca bibi
Mamaheweye mama ikala cini
pumuzika kidongo
mayisha yako yote mama
usiku na mucana
unaha,unaha,unahangayika
unatafuta mayisha
mayisha y'umuvyeyi ma
n'urukundo
mzee mandelandani yangu ni raha na sorrow
nikiwaziya baba
myaka ishirini na saba ya sorrow
kwa bahati
Sambolera Mayi SonSambolera mayi son
(Khadja Nin/Kevin Mulligan)
Duniya ile Sambolera
Oh ! wanayijifondeya
Duniya yetu Sambolera
Mbona wazimu... mayi
Watu wa duniya Sambolera
Oh ! wanajisondeka